Tonalità: Ab major
Verse 1
E
A
Iyee iyeee iyee iyee
E
B
Iyee iyee mmhhh
Verse 2
E
A
Maisha yangu yanawewe
B
Tumaini la moyo,
E
kwako mim nimeliweka
A
E
Msaada Wa karibu bwana
B
Nitakusifu wewe tu
E
nanitakutuza
A
Nitapolemewa na mizigo
E
Magonjwa na mateso sina
A
E
B
E
wasiwasi tena
A
Nipitapo uvuli wa mauti bwana
E
Gongo lako na fimbo yako
vinanifariji bwana
B
Verse 3
E
Umenifanya wa thamani umenitoa
E
Umenikung'uta mavumbii
B
ukanibariki
E
A
Umenifanya hodari, ukanipa ujasiri
E
Niliyekuwa sifai, umenibariki
B
Verse 4
E
Only you (only you)
A
Only you (Jesus)
E
Elishadai (Only you)
B
Oh yeah (My God)
E
Adonai (only you)
A
Only you Jesus (Jesus)
E
Ni wewe unanitoa dhambi (only you)
B
Ni wewe unaefaa (my God)
E
A
E
B
Only you
E
Kila njia ya mtu ni sawa,
A
E
machoni pake mwenyewe
B
E
B
E
Bali bwana upima mioyo
A
Mawazo tuliyonayo nafaham
E
naweza kujiona watakatifu
B
Ila mbele zake hasara roho ni
A
Jinyenyekeze mbele zake
E
tupate thawabu milele
B
Kwa kumtumikia yeye tu
E
Yeye anaponyaa,
A
E
anaokoa halo halo halo
B
Kwangu ni mwaminifu
A
Nitapolemewa na mizigo
E
Magonjwa na mateso sina
B
E
wasiwasi tena
A
Nipitapo uvuli wa mauti bwana
E
Gongo Lako na fimbo yako
vinanifarijii bwana
B
Verse 5
E
Umenifanya wa thamani umenitoa
E
Umenikung'uta mavumbi,
B
ukanibariki
E
A
Umenifanya hodari, ukanipa ujasiri
E
B
Niliyekuwa sifai, ukanibariki
Iyee
Verse 6
E
A
Only you Jesus
E
Simba wa yuda (Only you)
B
Only you (my god)
Hakuna kama wewe (Only
A
Nitang'ang'ana na wewe (Jesus)
E
Jesus (only you),
B
Ni wewe pekee yako tu (my God)
E
Eehhh (only you)
A
Baba wa huruma ehh (Jesus)
E
Mwingi wa rehema ehh (Only you)
B
Hakuna kama wewe (My God)
Mwenye kutoa buree (only
Unayetupenda (Jesus)
A
E
Only you
B
Yesu wangu (My God)
Baba yangu
Ti è piaciuto il brano?
AccordatoreE A D G B E
AccordiE A B
Brani correlati
Scopri altri brani e i relativi accordi
Accordi popolari a livello globale
Accordi e tablature più suonati dagli utenti
Aggiunti di recente
Accordi e tablature aggiunti di recente
